AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tahadhari hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu Bw. Salva Rweyemamu wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kufuatia kutokea kwa matukio kadhaa ya mfululizo ya watu kutapeliwa kwa kutafutiwa kazi ikulu.
Aidha Salva amesema Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kufanya maamuzi ya watuhumiwa wa kashfa ya Tegeta Escrow ambao walikuwa wakifanyiwa uchunguzi kama alivyoahidi wakati wa mkutano wake na wazee wa mkoa wa Dar es salaam tarehe 22 mwezi Disemba mwaka jana.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK