AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi majuzi Jini Kabula alitupia picha mtandaoni, akiwa na jamaa katika pozi la kimahaba huku macho yake ameyalegeza kama inavyo onekana hapo juu, na kuandika maneno ya kumtambulisha huyo jamaa kuwa ndie mpenzi wake.
“With my beiby...morning TANZANIA...” Kabula aliandika.
Mashabiki wake walimpongeza kwa kuweza kumpata mwenza na kutaka PROJECTII iendelee.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Alikuwa nae hata wakati yuko na bushoke,na ndio maana akapigwa chini.
ReplyDeleteHongera kwa kuongeza msururu wa wanaume bi dada.
Hata mwezi bado ushapata mwanaume mwengine,lol!
ReplyDeleteovyooooooooooooooo
ReplyDeleteBushoke alifanya maamuzi sahihi maana alikushtukia km una mwanamme anamsaidia,haiwezekani ata mwezi hujatimiza uwe na mwanamme mwengine km si ukahaba kitu gani......Endeleza tu kuwaunganisha kama mshkaki wa kuku wala humkomoi mtu,utaipigisha mpaka isinyae iyooo...
ReplyDelete