AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Mpekuzi, Irene amesema mahusiano yake na Jaguar yapo japo hajafanya maamuzi ya kuolewa.
“Jaguar hakuja kuna vitu ambavyo vilitokea vikasababisha asije,”amesema mrembo huyo.
“Kila siku naongea naye na uamuzi wake upo pale pale. Mimi mwenyewe bado sijafanya maamuzi ya kusema niolewe lakini akija ndo tutaongea kila kitu.”
Haya hivyo Irene amesema hawezi kuzungumzia ndoa yake na mcheza soka wa Rwanda, Ndikumana waliyezaa naye mtoto mmoja aitwaye Krish.
“Sasa kuhusu hilo nisingependa kuliongelea, mimi nadhani sijui hata nisemeje, sipendi kuongelea mambo yangu binafsi.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ukiulizwa ya ndikumana yanakuwa mambo yako binafsi,
ReplyDeletekwani hayo yako na
Jaguar sio yako binafsi?Ni /yamekuwa ya umma?
Acha umalaya,dunia ni mduara.
HASWA HEBU TUAMBIE YA JAGUAR NI YA UMMA??
Deletekwanza ndoa ya kikristo huwa haivunjiki atazini tu akiamua kama anavyo fanya na wengine now
ReplyDeleteATAKUWA ANAZINI KABISA!!
DeleteHuyu mdada nilishamdadavua sana na hata gari yangu alikuwa akiitumia,pongezi kwa Kikumba Kulwa aliyeniunganishia!
ReplyDeleteNDIKUMANA TU NDIYE ANA MAPENZI PEKEE YA DHATI KWAKO WENGINE WAOTE WATAKAO KUJA HAKUNA KITU.
DeleteTENGENEZA NDOA YAKO WEWE!!!!
ReplyDeleteacha ujinga. Mchaga gani utaka kuvunja ndoa ili uolewe huko utakaa? si yaleyale tu? acha upumbavu mrudie mumeo. mjinga sana
ReplyDelete