AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
JIBU : Sioni hivyo, ila naona nilikuwa najishushia heshma zaidi kuishi na mume asie na heshma, anaeweza kutongoza na kushika wanawake makalio wakati mi
niko jukwaani naimba.
Kuwapa mademu magari yangu waendeshe na kuyagonga wakati niko safarini . Ukiachilia mbali vipigo.
Kutembea na wahudumu wa restaurant yangu. Ushahidi ninao. …..niliwahi mkuta anawashika mapaja na akakiri kosa. bado kupigana na kuwatusi wateja pia. Kifupi ilikuwa ni ndoa ya mateso.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
POLE MDADA NDIO WAUYME ZETU HAO
ReplyDeletepolee
ReplyDeletepole lakini wakati unaolewa uliyajua hayo na ulaolewa ukijua atabadilika tabia yamtu haibadilika jide
ReplyDeletePole sana! Afadhali umeondoka, dunia inakuhitaji na wewe unahaki ya kuishi kwa amani na furaha. Ni bora umemwachia.....kama Mungu alikupangia mwingine utampata tu. Tunakuombea maisha mema Jide.
ReplyDelete