AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni haimhusu mtu yeyote, hili ni jambo langu siyo lazima niliweke wazi, kama kampuni imekufa au itaendelea haiwahusu, wanaoamini imekufa waamini hivyo, maana hata Yesu walisema atarudi hadi leo mbona hajarudi? aliuliza kwa hasira mama huyo.
Ofisi ya mkali huyo wa filamu za Kibongo, aliyefariki ghafla miaka mitatu iliyopita, ilikuwa eneo la Sinza Mori na ilifungwa wiki mbili zilizopita, baada ya mama huyo kudaiwa kushindwa kumudu kodi mpya ya pango ambayo ilipandishwa.
GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
MMMMMMMMMMMMMMH!!!! ACHA KUKUFURU MAMA!!!
ReplyDeleteSijui dini gani huyu bi mkubwa,au pagani?
ReplyDeleteAaaaa huyu maza hn hekima kabisa mambo gani analeta hayo au bwaksi???mi kwanza nikiona maza wa umri wake anagonga ulabu afu yupoyupo haeleweki yupo single hues nawaweka kundi fulani hv,anyway tuyaache hayo ameshindwa kuendeleza rasilimali za mwanae toka aje kuzika toka shnyng hajarudi bongo ulaya wewe aiyaaa starehe za ukubwani tena...,
ReplyDelete