AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nuh Mziwanda ndio alioibandika picha hiyo kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa instagram na baada ya kuona wengi wanamshabulia aliamua kuibandua. Kwa kiufupi picha hii haina maadili na ukizingatia mwanadada Shilole ni mama na sijui watoto wake watajifunza nini hapa.
Wapo walioona kuwa kitendo hiki alichokifanya Mziwanda labda ni kutokana na umri wake hivyo hayo ni baadhi ya matokeo ya kuwa na mahusiano na mtu mtoto mdogo na kuona Mziwanda hana kosa hapa. Lakini pia wapo walioona kuwa wawili hawa wanatafuta KIKI tu ili media za hapa Bongo ziwazungumzie kama Zari na Diamond, ila pia wapo amabo wanaona hii ipo poa na haina tatizo.
Nadhani kitendo cha Mziwanda kubandua picha hii ni kutokana na akili yake ku-CLICK kuwa amekosea, nampongeza kwa hilo na naamini atakuwa amejifunza kitu.
Nia na madhumuni ya kuileta hapa ni kutaka watu watambue kuwa mtandao ni zaidi ya tunavyofikilia kwani kosa la sekunde moja mtandaoni linaweza kukuhalibia maisha yako yote..Siku nyingine naamni watakuwa makini.
Mzee wa Ubuyu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ujinga tu.hao watoto wako wakiona cjui washangilie au walie?jiheshimun kila myu anampenz wake mambo hayo ni ya faragha sio hadharani!
ReplyDeleteUmenena.
DeleteWANATAFUTA KIKI TU !!
ReplyDeletewaxenge hao**
ReplyDeletewaxenge hao**
ReplyDelete