AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji Aunty Ezekiel kwenye ukurasa wake wa Istagram jana usiku aliweka video ikimuonesha akiwa Hospitali na akiwa amembeba mtoto mkononi ilivuma na katika picha zake zote hiyo ndo ilipata comments nyingi zaidi watanzania wakimpongeza kwa kujifungua, Mose Iyobo ambaye mara nyingi ametajwa kuwa ndiye baba wa mtoto huyo, amesema Aunty yuko location wanashoot movie mpya aliyocheza na msanii Dude.
Ni movie kweli au kajifungua?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mh watanzania bana.mtu ajifungue mtoto akue ghafla ivo kwani anamwagiwa mbolea au umbea wenu tu
ReplyDeleteUMBEA WAO TU WABONGO BANA MTAACHA LINI?? UDAKU NA NYIE ??????????
ReplyDeleteKwli ni umbea na hata km kajifungua sio mtt uyo anaonekana mtu mzima kabisa ila endeleeni kuusaka umbea lkn kwa hapa mmefeli.
ReplyDelete