Tanzania Yapaa Wiwango vya Mpira FIFA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tanzania imepaa kwenye viwango vya kila mwezi vya FIFA kwa kupanda kwa nafasi saba (7)  katika viwango vya shirikisho hilo la kimataifa vilivyotolewa leo.
Rwanda ndiyo imetia fora kwa kupanda kwa nafasi nane (8) na kuongoza Afrika Mashariki ikiwa nafasi ya 64 duniani ikifuatwa na Uganda (74), Tanzania, Kenya (118) na Burundi (126).

Algeria wanaendelea kushikilia usukani Afrika wakifuatwa na Ivory Coast, Ghana, Tunisia, Senegal, Cape Verde, Nigeria, Guinea, Congo DR na Cameroon wanaokamilisha 10 bora barani.

10 bora duniani inaendelea kuongozwa na Ujerumani wanaofuatwa na Argentina, Colombia, Ubelgiji, Uholanzi, Brazil, Ureno, Ufaransa, Uruguay na Italia waliopanda kwa nafasi mbili na kuitoa Hispania.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad