AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habari za kuaminika kutoka kwenye chanzo makini zilidai kwamba hukumu ya kesi hiyo juu ya malumbano yaliyokuwa makali kati ya pande hizo, ilikamilika hivi karibuni ambapo Jide au Lady Jaydee alipewa maelekezo hayo.
Ilidaiwa kwamba staa huyo alielezwa kuwa endapo atakwenda kinyume na hukumu hiyo atakuwa amepingana na amri ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar iliyokuwa ikisikiliza kesi hiyo.
“Kesi ilikuwa ikirindima kwa muda mrefu kwenye mahakama hiyo lakini hivi karibuni imefikikia tamati,” kilisema chanzo hicho kwa sharti la kutotajwa gazetini.
Baada ya kunyetishiwa ‘ubuyu’ huo, mwanahabari wetu alimtafuta Ruge ili kuthibitisha habari hiyo ambapo alikuwa na haya ya kusema:
“Ni kweli kesi moja ya kututukana kwenye mitandao ya kijamii imeshatolewa hukumu na kwa taarifa ni kweli hatakiwi kuongea chochote juu yetu ila bado kuna kesi nyingine inaendelea, nafikiri maelezo mazuri zaidi nitakukutanisha na wakili wetu ndiye atakufafanulia zaidi.”
Mei, 2013, Clouds Media Group na Ruge walimburuza Jide mahakamani kwa kile walichodai kwamba alikuwa akiwatukana kwenye mitandao ya kijamii.
GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK