AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jini Kabula |
Tukio hilo lilinaswa Machi 17, mwaka huu ndani ya uwanja ambapo kulikuwa na mtanange kati ya Yanga na Kagera Sugar.
Akiwa uwanjani hapo muda mfupi kabla ya mechi kuanza, Jini Kabula alishuhudiwa akifakamia ‘mikuku’ na rafiki zake, jambo lililowafanya baadhi ya mashabiki wanaomfahamu kumkodolea macho muda mwingi.
Pamoja na hali hiyo, Kabula hakuonekana kujali chochote akaendelea kutafuna kuku kwa fujo na hata mwanahabari wetu alipomhoji juu ya upatikanaji wa kuku hao ndani ya uwanja huo, staa huyo alisema kuwa aliwanunua nje ya uwanja hivyo hata kula katikati ya watu haoni noma.
“Acha nile kwa raha zangu, mimi nina njaa na ndiyo maana nilipitia kuku wangu nje ya uwanja na kuja nao hapa,” alisema Kabula.
GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
SIO HABARI!!
ReplyDeleteMwacheni atoe shavu dodoo
ReplyDeleteKULA KA RAHA ZAKO!!
ReplyDeleteMwili haujengwi kwa matofali Bali Misosi ya nguvu
ReplyDelete