AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uwiiiii tatenaneeeee, mambo yamefika mahala pake, Moza alikamatwa monday na kuwekewa dhamana jumatano na kesi bado inanguruma, haaa picha linaanza pale ambapo yeye mwenyewe anakataa oooh sio mie niliochukua ile video ze police wakamuuliza pale ni kwako YES so nani alichukua video sio miee, nasubiria movie iendeleee haki vile palipofika nimefurahi hatimaye TCRA watalifanyia kazi si kwa wanaume /wanawake hii ni kwa wote wanaowadhalilisha watu umelala na mtu halafu unamrekodi ili iweje?? kama sio kudhalilishana ni nini kwa kweli im so hapyyyyyyy na TCRA big up kwa ku follow up this case, its high time vimbelembele wavitulize
NB
mwanamke/mwanaume mwenye akili zake hawezi kufanya hivi ukiona mtu anafanya hivi ujue maisha yake hajielewi of-course she/he got nothing to lose, jamani hata Ezden mwenyewe nilivyoongea naye katika simu nimemwambia na nyie muangalie na wanawake wa kutoka nao jamani khaaaaa.
~Sintah
mwanamke/mwanaume mwenye akili zake hawezi kufanya hivi ukiona mtu anafanya hivi ujue maisha yake hajielewi of-course she/he got nothing to lose, jamani hata Ezden mwenyewe nilivyoongea naye katika simu nimemwambia na nyie muangalie na wanawake wa kutoka nao jamani khaaaaa.
~Sintah
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
AELEZE KAMA YEYE HAJACHUKUA HIYO VIDEO NI NANI?? LAZIMA ASEMA TUNAFUATILIA
ReplyDeleteHII KESI VIPI UDAKU MBONA KIMYA TUFAHAMISHENI NINI KINAENDELEA
ReplyDelete