Moza Akana Kumrekodi Edzen Akiwa Uchi, Polisi Wambana, TCRA Wajitosa Kushugulikia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Uwiiiii tatenaneeeee, mambo yamefika mahala pake, Moza alikamatwa monday na kuwekewa dhamana jumatano na kesi bado inanguruma, haaa picha linaanza pale ambapo yeye mwenyewe anakataa oooh sio mie niliochukua ile video ze police wakamuuliza pale ni kwako YES so nani alichukua video sio miee, nasubiria movie iendeleee haki vile palipofika nimefurahi hatimaye TCRA watalifanyia kazi si kwa wanaume /wanawake hii ni kwa wote wanaowadhalilisha watu umelala na mtu halafu unamrekodi ili iweje?? kama sio kudhalilishana ni nini kwa kweli im so hapyyyyyyy na TCRA big up kwa ku follow up this case, its high time vimbelembele wavitulize 
NB
mwanamke/mwanaume  mwenye akili zake hawezi kufanya hivi ukiona mtu anafanya hivi ujue maisha yake hajielewi of-course she/he got nothing to lose, jamani hata Ezden mwenyewe nilivyoongea naye katika simu nimemwambia na nyie muangalie na wanawake wa kutoka nao jamani khaaaaa.
~Sintah
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. AELEZE KAMA YEYE HAJACHUKUA HIYO VIDEO NI NANI?? LAZIMA ASEMA TUNAFUATILIA

    ReplyDelete
  2. HII KESI VIPI UDAKU MBONA KIMYA TUFAHAMISHENI NINI KINAENDELEA

    ReplyDelete

Top Post Ad