Mwanamuziki TID Azidi Kukumbwa na Pepo la Kupiga watu Ovyo, Sasa Amgeukia Meneja Wake na Kumpa Kichapo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TID
Wiki iliyopita taarifa za Mwanamuziki TID kumpiga mtu migumi kwa kosa la mtu huyo kupaki gari sehemu ambayo yeye huwa anapaki gari kusambaa mitandaoni leo limekuja jipya la Mwanamuziki huyo kumpiga Meneja wake Anaitwa Tall Myama...

Hajajulikana nini Sababu ya kichapo hicho ila walio shuhudia wanasema TID alimkuta Meneja wake huyo akistarehe pale Element Club na kuanza kumchapa Vibao....Baada ya tukio meneja huyo alikimbulia polisi na kumshitaki ....

Je una maoni gani kuhusu TID ?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. AKAOMBEWE HUYO KUNA ROHO YA MAUTI INAMSUMBUA..........

    ReplyDelete
  2. HUYU AMEPAMISS SEGEREA !!!

    ReplyDelete
  3. Ana uhuni wa kizamani

    ReplyDelete
  4. TID needs sychological help very very urgently before it's too late because the boy is completly frastrurated 'n' sychological sick he doesn't know what he's doin' "PLEASE HELP HIM OUT OF THIS SH*T"

    ReplyDelete
  5. NI BANGI TU ZIMEMZIDIA ANAZIVUTA BILA YA KULA!

    ReplyDelete
  6. MPELEKENI KWA GWAJIMA AKAOMBEWE!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad