Nini kilivunja Pah One, je watarudiana tena? Navy Kenzo ilianzaje? Hapa yako majibu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Pah One 
Ola amesema walikuwa Afrika Kusini kwa ajili ya shughuli za kimuziki pia huku wenzao wakijitoa na kuunda Navy Kenzo.

Pah One wamerudi Tz, Ola amesema hawezi kujiunga na Navy Kenzo, kingine alichokisema ni ishu ya beat za album ya kundi hilo kuuzwa kwa wasanii wengine.

Soudy Brown alimtafuta Nahreel ambaye amesema toka kundi hilo livunjike hawajawasiliana ila chanzo cha kuvunjika ilikuwa nidhamu akaamua kujitoa, kuhusu beat kutumiwa na wasanii wengine amesema ni kweli imetokea hivyo ila yeye ndio alizitengeneza na hazikuwa mali ya kundi hilo.
Bonyeza play hapa mtu wangu kusikiliza U Heard la leo March 13…
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad