AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Joseph Mbilinyi aka Sugu |
''Hao wanaozingua wakamuulize Kikwete studio aliyoitangazia dunia kawapa wasanii iko wapi na kamkabidhi nani, amehoji Sugu kwenye Instagram. Rais kashindwa kuwasaidia wanataka kumlaumu mbunge wa Mbeya mjini, wakati hata hao wasanii wenyewe kimsingi hawakutusapoti kwa namna yoyote wakati tunagombea huo ubunge, wote walikuwa wanajipendekeza kwenye kampeni za CCM''.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Siasa siyo lele mama katika vipaza sauti tu ni vitendo vya ukweli ndivyo wanavyovitaka hao waliokupigia kura na kukufanya uwe hapo ulipo sasa kumbukeni mkono mmoja huosha mwingine/mkono mmoja peke yake hauwezi kujiosha
ReplyDeleteAhadi ni deni so timiza lile/yale uliyoyaahidi wakati wa kampeni zako
ReplyDeleteNI KWELI KABISA KAMANDA!!!!
ReplyDeleteWewe Sugu una msema Kikwete hajatimiza ahadi zake, wewe Umetimiza Ahadi zako kwa Sisi Wana Mbeya au unataka tuanze kuziorothesha ahadi ulizo tuahidi na hujatimuza, jipange kaka uchaguzi ujao sio lelema.
ReplyDeleteacheni usenge nyie mbunge awtimizii ahadi ila anasimamaia ahadi za serikali mbwa nyie ndio wale akiili ziko matakoni eti wana mbeya kama serikali imewatosa mnataka afanyeje wakati serikali inapeleka maendeleo majimbo ya ccm
ReplyDeleteSugu mtu wang vile, noooomaass! Tengeneza verse maana bit zipo tayari au bipi, sie masela kura kwako usipinde mwanangu, oooyaaaa
ReplyDeleteSUGU POA SANA KWELI STUDIO IKO WAPI???????
ReplyDelete