TCRA Yakanusha Kuwa na Mpango wa Kufungia Mitandao ya kijamii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Gazeti Moja Kubwa Kuandika kuwa TCRA ipo Mbioni kufunga Mitandao ya Kijamii inayotumika Vibaya ..TCRA wameibuka na Kusema :

'TCRA haina mpango huo na haikusudii kufanya hivyo na haina Mamlaka ya kufungia mtandao uliosajiliwa nje ya Tanzania.

Tumejikita zaidi kutoa elimu kwa umma juu ya matumizi mazuri ya mawasiliano. Wanaotumia mitandao vibaya ni wachache kuliko wanaotumia vizuri

Habari hii sio kweli hakuna wakati wowote ambapo yeyote katika mkutano huo alizungumzia kufunga mitandao ya kijamii. Kwa mtu anayefahamu teknolojia anaelewa madhara na hasara ya kufanya hivyo.

Waandishi wa habari wanaaswa kuwa makini wanapoandika habari kuepusha kutoa habari ambazo sio sahihi na zinazoweza kuleta mtafaruku kwa jamii'
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad