AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Marafiki wa karibu wanasema kwamba amekuwa akijipiga picha hizo na kuwatumia marafiki zake pamoja na wanaume, huku akijisifia uzuri wake, ambapo wao wanaona kitendo hicho ni udhalilishaji hata kwao pia.
Kijana mmoja ambae alitumiwa picha na msichana huyo amesema alishangaa kurushiwa picha hizo japo hakujua lengo la msichana huyo.
Msichana ambaye ametajwa kurusha picha hizo amesema kwamba alipiga picha hizo na rafiki yake lakini baadae akashangaa kuona picha hizo zimeenea.
Kusikiliza story yote bonyeza play hapa chini…
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK