AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mnyika ametoa tuhuma hizo dhidi ya Zitto asubuhi hii kupitia akaunti yake ya Twitter na kumtahadharisha Zitto kuwa atamchukulia hatua Kali za kisheria kwa kupitosha mazungumzo ya Mnyika na familia ya Mwalimu Nyerere.
Sasa hivi imebainika kuwa ni vita kamili baina ya Zitto na Mnyika hasa baada ya kubainika tetesi kuwa Zitto anagombea jimbo la Ubungo ambalo liko chini ya Mnyika hivi sasa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tuasikitishwa na vijana wwnzetu na chuki zao Anna hii watu wataamini kwwli kwamba hatuwezi
ReplyDeleteMnyika anajua kua zitto nikiboko yao ndio maana analeta chuki wazikabisa naomba zito agombee ubongo ntakua wakwanza kumng'oa mnyika nakura yangu
ReplyDeleteVita vya panzi!!!
ReplyDelete