Makalio Makubwa Yageuka Bunduki Kwa Mademu Wa Mujini....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ebu tujiulize swala moja vitukuu wa MMU.Nimefanya kajiutafiti nikagundua wanawake wengi wa Kitanzania au kiafrica wamekuwa tegemezi sana kwenye silaha moja tu.

MAKALIO YAO",Asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa wakitumia makalio yao"Wowowo"Kuwanasa wanaume haswa maofisini n.k.
Nimejiuliza bila makalio mbinuko hawa watu wangetumia nini kutunasa?

We wafuatilie watembeapo huzungusha makalio,wapigapo picha hubinuwa makalio,walalapo kwa Bed huyaweka makalio yao juu juu.

Hivi ina maana makalio yenu yamegeka silaha yenu?
Na hii imewachangia baadhi ya wanaumme wawaze kuwatafuna utumbo mdogo a.k.a"Tigo"
Unakuta mwanamke kwa sura mzuuriii..Lakini kama ni flat screen anapoteza confidence kabisa.
At the same time unaweza kumkuta demu sura nguumuu..Imekunjamana kama kalamba ndimu.Lakini kwa sababu kajaaliwa Makalio mbinuko anajiamini plus kiburi juu.
Makalio a.k.a Wowowo ni SMG kwenu?Kujeni mjitolee tafsiri wenyewe mabibi na wazee wa Mikia.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad