AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Membe alitoa kauli hiyo mkoani Lindi wakati akitangaza nia ya kuwania urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
- “Nitahakikisha naweka mipango imara katika kusimamia kazi za wasanii wote kunufaika na hakimiliki zao,” alisema.
Pia alisema atahakikisha wasanii wanakwenda kujifunza nje ya nchi masuala ya sanaa ili sekta hiyo ipate mabadiliko ya kimaendeleo kwa wasanii na Serikali kwa ujumla.
- “Nikichaguliwa kuwa rais, nimejiwekea mikakati mingi kuhakikisha sekta ya sanaa inapiga hatua kutoka hapa tulipo sasa,” alisema Membe.
Katika mkutano huo, waliohudhuria ni baadhi ya wasanii akiwemo mchekeshaji, Adam Melele ‘Swebe’, Hemed Malyaga ‘Mkwere Orijino’ na Kulwa Kikumba ‘Dude’.
Gazeti la Mtanzania
Tanzania Hottest Celebrity Gossip New
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nyinyi wasanii mtaahidiwa sana pindi wakaapo katika hivyo viti vyao hata habari na nyinyi hawana wanakuwa busy kuifisadi nchi yao nyinyi wasanii hamna mpango nyinyi inatakiwa mshikame na mjiokoe nyinyi wenyewe mkiwa ngojea hao akina mission impossible na fake promises zao ili wachaguliwe mtajikuta time's runnin'out na mmeishazeeka wewe ulishaona wapi acha TZ tu bali the all Africa waliopo juu baada ya kuchaguliwa wakaja wakawasaidia waliopo chini ili nao wajikwamue kimaisha?
ReplyDelete