Mimi nikipata management kama ya Diamond nitakuwa mbali sana – Christian Bella

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Christian Bella ni muimbaji anayeamini kuwa ili msanii afanikiwe zaidi anahitaji kuwa na management nzuri.

Muimbaji huyo wa ‘Nashindwa’ ameisifia management ya Diamond na kuongeza kuwa endapo angeweza kuwa na watu imara wa kumsimamia angekuwa mbali zaidi ya hapo alipo.


  • “Mi napenda kusema ukweli, Diamond yuko vizuri na management yake wanajitahidi vizuri, yeye msanii akiwa na management nzuri yaani Babu Tale na Fella nawapa bigup sana.”Alisema Bella kupitia 255 ya Clouds Fm. “Ndo tunataka watu kama wale wawepo, mimi nikipata watu kama wale wee! itakuwa mbali sana kwasababu mimi najua kwamba mimi ninauwezo wa kuimba nina vocal najua melody za kuimba, ila nakosa tu watu wa kukunyanyua, kwamba lala usingizi tunaenda kuongea na Fally Ipupa, we lala yaani zima simu wanakwambia we studio kesho, aah yaani naenda nauwa, ndo wasanii wa mbele wanaishi hivyo.” alimaliza.


Kuhusu wasanii ambao anatamani kuja kufanya nao collabo akipata nafasi, Bella amesema kwa Marekani anatamani kuja kufanya kazi na Chris Brown, na kwa Afrika anatamani kuja kufanya kazi na Fally Ipupa, P-Square na Wizkid.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad