AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dimond: Wema and Her Team Must change- Wema for MP...
This is Diamond comment on Wema regarding her motives to MJENGONI
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
toka lini Domo aandike hivi kwa Wema? au kakosea jamani, si alikuwa anamponda sana kumbe kiroho bado kinadunda hahaaaa.
ReplyDeleteDAI ANAANZA KUJIRUDISHA AU DANGANYA TOTO TUU. OK SISI YETU MACHO.
ReplyDeletesasa shangazi zari akiona hiyo msm si wivu utaanza na ugonvi utakuja, au ndo baby come back
ReplyDeletehana sababu zakujipendekeza hebu soma na uelewe anamaana gani-ila sizani km hii post inatoka kwake
ReplyDeleteNa nyie wote ndo mmeamini km hiyo ni account ya Diamond,mnakurupuka km wanavyokurupuka hawa wadaku....huhuhuhu
ReplyDeletekabla ya kucomment hebu jaribuni kutembelea page zote za insta,twitter na facebook munone kama diamond kaandiko huo ujumbe.Hapa ndipo utagundua kuna blog na watu wanaotaka kumuaribia dogo Diamond hajaaindika huo upuuz ktk age yake yoyote.
ReplyDeleteHyo acc sio ya diamond chunguza spelling inakua kam ile acc mliosema ya wema imemtukana zari mimba ya foot lakn sio acc zao chunguzen b4 kutoa habar
ReplyDeleteSIO COMMENT YA DIAMOND!!!
ReplyDeletenami naamini hiyo acc siyo ya DAI ila kama ni yeye anajaribu kumshauri Wema ili kama atafaniliwa ajitahidi kuwa na maadili mema mjengoni, makundi wakati mwingine siyo deal
ReplyDeletehii sio comment ya diamond. na kama ndio kweli kaandika hivyo he can then take the express flight to hell
ReplyDeleteacc ya diamond insta ni diamondplatinumz sio diamondiplatinumz
ReplyDelete