AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Picha kadhaa ambazo Clouds.com imezipata zikimuonyesha Immu Bella ambaye ni msanii wa Bongo Fleva akiwa na aliyekuwa mke wa Bob Junio huku amembeba mtoto wa msanii huyo.
Mwanaume huyo akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa ni kweli Halima ni mpenzi wake na wana mipango endelevu ya penzi lao na yuko tayari kumlea mtoto wa Bob Junior kwa kuwa hana hatia yoyote.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
WEWE UKISEMA WA NINI WENZAKO WANASEMA WATAMPATAJE
ReplyDelete