Picha za Aliyekuwa Mke wa Bob Junior Akiwa na Mpenzi wake Mpya Nimekuwekea Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Msanii na mtayarishaji wa muziki kutoka studio ya Sharobaro Records,Bob Junior ambaye alimpa talaka mkewe,aitwaye Halima Ally miaka kadhaa iliyopita baada ya kushindana tabia,hatimaye ‘mkewe’ amepata mpenzi mpya aitwaye Immu Bella.

Picha kadhaa ambazo Clouds.com imezipata zikimuonyesha Immu Bella ambaye ni msanii wa Bongo Fleva akiwa na aliyekuwa mke wa Bob Junio huku amembeba mtoto wa msanii huyo.

Mwanaume huyo akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa ni kweli Halima ni mpenzi wake na wana mipango endelevu ya penzi lao na yuko tayari kumlea mtoto wa Bob Junior kwa kuwa hana hatia yoyote.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. WEWE UKISEMA WA NINI WENZAKO WANASEMA WATAMPATAJE

    ReplyDelete

Top Post Ad