Breaking News: Majambazi Walioua Polisi na Raia Kituo cha Polisi Stakishari Wakamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Polisi Jijini Dar es Salaam wamesema wamewakamata watu watano waliohusika na tukio la ujambazi katika Kituo cha Stakishari, pia silaha kadhaa zimekamatwa.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, ameapa kwamba Jeshi hilo litawakamata wale waote waliohusika na tukio hilo, pia amesema kama wapo watu waliohusika na tukio hilo wajisalimishe.

Silaha zilizopatikana ni SMG 7, Sar, 7, Risasi 28 za SMG zote za Kituo cha Polisi Stakishari, Pia wamekamata sanduku lenye fedha za Kitanzania milioni 170.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ASANTE MUNGU!ASANTE JESHI LA POLISI.

    ReplyDelete

Top Post Ad