AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji wa Ndani wa Serekali ya Kenya Mwanda Njoka Ametoa Taarifa kupitia mtandao wa Twitter kuwa shambulio lililofanywa na US huko Somalia Halijafanikiwa Kumuua Mohamed Kuno ambae ndio Gaidi Mkubwa Anayeongoza Katika list ya Magaidi wa Al shabaab Wanaotafutwa kwa udi na Uvumba...
Mwanda Njoka Amewataka wananchi wa Kenya Kuendelea kutoa Taarifa za Gaidi Huyo ili kufanikishwa kukamatwa kwake...
Shamulio lililofanywa na US Drone limeuwa Magaidi 30 huko Samalia.....
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK