Mchezaji Mwingine wa Tanzania Ala Shavu Kubwa South Africa..Apewa Mshahara wa Dola 5000 kwa Mwezi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tumetoka kushuhudia mchezaji Singano akisaidi mkataba na Azam F.C na kuanza kulipwa mshahara wa Tsh millioni mbili kwa mwezi. Huyu hapa ni mchezaji mwingine wa Tanzania ambae amesaini mkataba na club ya South Africa inaitwa Jomo Cosmos kwa mshahara wa $5000 kwa mwezi baada ya kukatwa kodi.

Taarifa hii exclusive imeinifikia kutoka kwenye vyanzo vya uhakika japokua signing fee imegomwa kutajwa. Mchezaji mwenyewe ni Uhuru Suleimani ambae amewai kucheza kwenye club za Mwadui F.C, Coastal Union, Mtibwa na Simba. Club hii imepanda ligi kuu maarufu kama PSL, so atacheza na wakina Ngassa.All the best na hizi ni picha ambazo nimezipata kwa ajili yako.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad