Adam Juma ataja sababu za kwanini video zake hazioneshwi MTV na Trace

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Director Adam Juma amejibu lawama ambazo amekuwa akizipata kwa muda mrefu kuhusu video zake kutochezwa na vituo vya kimataifa kama MTV na Trace licha ya kuwa na ubora mkubwa.

Adam amesema kuwa sababu kubwa ya video nyingi anazofanya kushindwa kuchezwa zinaanzia kwa wasanii wenyewe.

Hiki ndicho amekisema kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm:

“Mi mtaendelea kunilaumu mpaka mtafika sehemu mtakuja kugundua, hata akija kufanya mtu mwingine mwisho wa siku hamuwezi mka solve, lazima mjue source ya matatizo…mnaweza mkafikiri labda mimi sitaki hizo video ziende huko, lakini swala sio hilo video zisiende huko, wasanii wenyewe pia sio wavumilivu…Alikiba kafanya video akaja akaitoa, kachelewa sana kuitoa, Trace wanatumia wiki tatu kui review video…hawakubali kupiga video baada ya watu wengine kupiga wanataka wao waanze kupiga wao, kwahiyo kuna wasanii wengine wajanja, wanaipeleka kule video miezi miwili mitatu mpaka ije kupita wakishapewa hiyo exclusive baada ya siku mbili tatu ndio wanaaachia bongo…Sasa mtu anataka ashut leo leo ipigwe Tanzania halafu iende ikapigwe na Trace…sasa mtu mwingine anakua ananilalamikia mimi bila sababu utafikiri mimi nafanya kazi bure tu. “– AJ
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad