AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mazungumzo hayo, Wema anamueleza Diamond kuwa apuuzie kile mashabiki wake wanachokisema kuhusiana na Zari na mtoto wao Tiffah na kwamba bado anampenda staa huyo wa ‘Nana.’
Diamond naye anaonekana kupagawa na ujumbe huo na kumuomba waonane.
Hata hivyo Sallam Ambae ni Meneja wa Diamond kupitia Twitter amepuuzia screenshot hiyo kwa kudai kuwa ni feki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
labda aliiandika yeye meneja laam.
ReplyDeletehuyo salaam anauhakika akauze bangi zake huko.
ReplyDeleteWatarudiana tu
ReplyDeleteTusubiri ndo wanaanza hivyo
ReplyDelete