Isabela Achekelea Adhabu Aliyopewa Mwanamuziki Shilole na Basata

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

BAADA ya msanii na muigizaji Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kufungiwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa kitendo chake cha kucheza nusu utupu jukwaani, msanii mwenzake Isabela Mpanda amechekelea adhabu hiyo na kusema liwe fundisho kwa wengine.

Akipiga stori na gazeti hili, Isabela alisema pamoja na kumhurumia juu ya maisha atakayoishi bila kufanya kazi kwa mwaka mzima wa kutumikia adhabu yake, lakini hatua hiyo ni nzuri kwani wapo wengi wenye tabia ya kucheza na kuacha matiti nje.

Mimi huwa sivai nguo inayoniacha matiti wazi, kwa nini wasanii hawafanyii majaribio kwanza ya nguo kabla hawajavaa na kutoka? Ninamhurumia na nampa pole maana sijui atawaleaje watoto wake watatu, maana anautegemea muziki katika kuendesha familia yake,” alisema Isabela.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Asikomae na jiji arudi Igunga akalime manumbu

    ReplyDelete

Top Post Ad