AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati jina la Latifah mtoto wa Diamond na Zari likizidi kukuwa, rafiki wa karibu wa aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Ssemwanga, Kinglawrence amemtupia dongo Diamond akisema hakuhitajiki kipimo chochote cha vinasaba DNA ili kujua kuwa, Latifah si mtoto wa Diamond kwani mambo yamejionesha yenyewe baada ya miezi tisa.
Kwenye mtandao wa Instagram, jamaa huyo aliweka picha ya Ivan aliyoiunganisha na picha ya Latifah ili wadau waone walivyofanana. Hapa ana maana kuwa, mtoto huyo ni wa Ivan.
Diamond alipotafutwa aseme neno kuhusiana na madai hayo yote, alipuuza kuhusu mtoto ni wake au si wake, akasema ana furaha iliyopitiliza ya kupata mtoto na kuhusu jina haoni kama kuna tatizo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Who really cares?may be mondi,sisi tunataka habari za UKAWA hapa achana na hao wakata viuno
ReplyDeleteMmmmmh! Wacha picha liendelee, yetu macho na masikio, kwa kifupi HAYATUHUSU
ReplyDeleteUmbea tu,
ReplyDeletena hiyo picha sio ya mtoto wa Tiffah.mmebugii men
Umbea tu,
ReplyDeleteNa hiyo picha siyo ya Tiffah.
Kalaga bao wewe wa kuitwa sijui King Lawrence unaonekana ni bongeeeee la mnafiki au watu wanakukunia ndevu mgongoni nini?Nonino inawasha inataka kukunwa na naniii......U better shut the fuck up
ReplyDeleteMashallah mtoto anafanana kweli na baba yake,diamond analazimisha tuu lakini ukweli anaooo,maana alivyo na mishauo angekuwa wake tungekuwa tumeshaoneshwa sura na DNA piaa anaogopa kuchekwaaa chezea team wema weweeee!!!!!haya ngoja tuone project Yao itaishia wapi ni hatarii hatarii
ReplyDeleteHiyo picha ni ya tiffa ZARI katuma kwa mashosty zakeee,lol....achani ushabiki maandazii umpelekeni DNA mtaumbuka nyieee yule ZARI ni kahaba international ana upeo mkubwaa ni mtu mzima na kaisha pitia mambo mengii huwezi mlinganisha na Diamondplatnumz huu ndo ukweli kubali au katana!!!
ReplyDeleteKwani huyo DAIMOND kashikiwa akili na mtu?Anatambua zuri na baya kwa hiyo tuwaache,wapita njia na ndugu tutaimba sana lakini mwisho wa siku uamuzi ni wa Dai mwenyewa.LET THEM GOOOOOOOOOOOOO.
Deletehe he he kazi kweli kweli mtaumwa sana vijiba vya roho!!!
ReplyDeleteMmmm kitanda hakizai haramu,Kama Wa mumewe ataenda kwa babake,kama Wa Dai haya
ReplyDeleteroho zitawauma sana haswa nyie mnao jiita vibaraka wa wema.
ReplyDelete