AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Ijumaa hivi karibuni, Sabby aliyewahi pia kuwa mpenzi wa Mwanamuziki Bob Junior alisema anajuta kwa nini alichelewa kuzianika hisia zake kwani Diamond ana sifa zote ambazo angependa mpenzi wake awe nazo.
“Yaani nimeficha hisia zangu siku nyingi lakini bora niseme ukweli kwamba natamani kuwa na Diamond kimapenzi, nahisi ni mwanaume anayejua kuishi na mwanawake,” alisema Sabby.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Amekula maharage ya wapi huyo ,teh,teh,teh
ReplyDeletemaharage ya mbea hayo!
ReplyDelete