AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nape anasema Lowassa amejivua nguo...najiuliza alitegemea aendelee kuvaa nguo chafu? vazi la kijani alionyeshi uchafu na ndiyo maana upendelewa na Mafisadi. Ilikuwa ni jambo muhimu kwa Lowassa kuueleza umma juu ya Richmond na sasa tumejua. CCM na menejiment yake inawajibika kutoa maelezo ni wapi fedha za umma zilipelekwa. Tunamshukuru Mh. Lowassa kwani aliwajibika kwa mujibu wa sheria kuinusuru serikali na sasa ni wazi kabisa ni mtu safi haswa anapoendelea kuchukua maamuzi magumu ya kujiunga vema upinzani kuyakataa makabaila ndani ya CCM.
By Philip Mlay
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
CMM mmepanick mbayaaaaa
ReplyDeletemanene ya mkosaji puwa kama ngumi
ReplyDeleteKweli kabisa bwanaaa...
ReplyDeleteTutataka kujua kinagaubaga ilikueaje mambo ya Richmond?kama alivyokuwa jasiri kujiengua CCM,atusaidie pia Watanzania wapi iliko pesa za Richmond name Epa.
ReplyDeleteNa ya richmond afanye uamuzi mgumu atueleze iko wapi pesa ya richmond, sio pesa katafuna afanye uamuzi mgumu kuutafuta urais tuu
ReplyDelete