Selfie imefanya Wanaume Tushindwe Kuona Makalio ya Wanawake Kama Zamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtakumbuka kipindi cha hapo nyuma kidogo ilikuwa kila mwanamke anayepiga picha basi lazima ajibinue nyuma atuonyeshe alilozawadiwa na Mungu.

Lakini hivi sasa habari ya mjini ni selfie tu, yaani wakipiga picha tunaishia kuona tu sura lakini nyuma hatukuoni.

Kusema ukweli, tangu selfie iwe habari ya mjini sisi wanaume tunaopenda makalio tumekuwa tukinyanyasika sana. Yaani ukiingia Instagram tunaishia kuona style za nywele na lips tu.

Tafadhali kina dada acheni selfie, rudini enzi zenu za kutuonyesha makalio ili nasisi wapenda makalio nafsi zetu zisuuzike.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad