AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Licha ya mrembo huyo kudai kupokea vitisho mbalimbali, pia alidai amehama chama hicho na kujiunga na CCM kutokana na kukubali sera za chama hicho.
“Sera za chama nilichohamia zimenivutia na wala sikulazimishwa na mtu wala sijapokea fedha wala gari kuhamia huko kama inavyosemekana, bali nafsi na mapenzi pamoja na haki yangu ndiyo yaliyonipeleka huko.
“Nashangaa maamuzi yawe yangu bado watu wanitumie jumbe za vitisho, mimi ni raia kama walivyo wengine, umaarufu wangu usiwe sababu,” alisema Aunt, ambaye awali alikuwa akivaa magwanda CHADEMA
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hamna lolote wasanii nyie NJAA zinawasumbau!!!
ReplyDeleteAcha ujinga. Nyie.watoto kizazi cha Leo hamna maadili. Hamna uzalendo. Mnanunuliwa n.a. pesa kimapenzi n.a. kwa Mila kitu.wala hamna uzalendo, Mila wala haya. No makofi tu. Hamjui tofauti ya utu, ustaarabu wala hamna class . Ni kama watu wa mitaani wazi n.a. elimu. pesa hainunui class.
ReplyDeleteSAWA,ILA NINA SWALI NAOMBA NIKUULIZE.EZEKIEL NI JINA LA KIUME ASILI YAKE NI KIYAHUDI-HEBREW-MAANA YA JINA EZEKIEL NI MWANAUME MFUPI.SASA SUALI JEE WEWE NI TRANSEXUAL GENDER YAANI ULIWAHI KUGEUZA JINSIA TOKA UUME KUJA UKE KUTOKANA NA SABABU MBALI MBALI ZA KISAIKOLOJIA? UKINIJIBU SAWA ,USIPONIJIBU BASI UJUMBE UMEFIKA,ASANTE.
ReplyDeleteanti ezekiel anazo jinsia zote mbili na ndio maana ccm wamevutiwa na kigodoro huyu.hana anachowapelekea zaidi ya ngono nzembe.yaani ukipita uchaguzi uuguzaji wa magonjwa sugu na hatari unaanza.huyu huku huyu huko.
ReplyDeleteKila mtu anayo haki ya kuhamia chama chochote muda anaojisikia,hata hawa wagombea wetu nao kuna vyama walitoka ACHENI ufurukutwa jifunzeni kuheshimu demokrasia!
ReplyDeleteKumbe mna approve kabla ? Ndo maana comments zipo biased! Kweli nyie udaku!
ReplyDelete