AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Licha ya mrembo huyo kudai kupokea vitisho mbalimbali, pia alidai amehama chama hicho na kujiunga na kingine
kutokana na kukubali sera za chama hicho.
“Sera za chama nilichohamia zimenivutia na wala sikulazimishwa na mtu wala sijapokea fedha wala gari kuhamia
huko kama inavyosemekana, bali nafsi na mapenzi pamoja na haki yangu ndiyo yaliyonipeleka huko.
“Nashangaa maamuzi yawe yangu bado watu wanitumie jumbe za vitisho, mimi ni raia kama walivyo wengine,
umaarufu wangu usiwe sababu,” alisema Aunt, ambaye awali alikuwa akivaa magwanda yanayoaminika kuwa jezi ya chama alichokihama
Chanzo:Mtanzania
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hizo meseji zinazokutishia amani hebu zilete huku TCRA, hao ndio watu tunaowatafuta siku zote
ReplyDeleteKuhama chadema imekuwa shida veeepeee, kwanza chadema sio baba wala mama yake, na wala chadema sio kabila wala dini yake, mumuwachee.............. angehamia ACT au TPP, CHAUSTA, CHAUMA, DP, UDP wala msinge chonga, mnaihara na kuihofia CCM siyo?? mnalo mwaka huu 'zigo' limewaganda na halitakati ng'ooooo!
ReplyDeleteMimi binafsi nimehama chadema baada ya kuchambua mchele na chuya,nikagundua CCM ni byeeeeeeeeeeeeee!,CCM muzuri sana,CCM ni bomba,CCM inogile,CCM ndio kanyaga twende peke yakeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
ReplyDeleteMONEY MONEY MONEY!!!
ReplyDeleteJamani nyie hamjui huo mchezo tu ccm wajinga wanafikiri hao wasanii wana impact kwa wananchi buhahahahahaaaa...mi nilishangaa eti Ray chadema wakati kutwa yupo leaders anajishaua mara riziwani mara Dodoma yani akili za ccm finyuuu
ReplyDeleteWanatanga tanga! hawana mpango wowote na siasa, ni njaaa tu inawasumbua kwani usanii wao haulipi wanabaki kuwa maarufu
ReplyDeleteBora ulivyohama maana ungepoteza kura yako bureeee
ReplyDeleteBora hata ulivyohama maana ungepoteza kura yako bureeee
ReplyDeletetabia ya kuchopa chopa ina watu maalum wasiojifahamu hata kwenye maisha ya ndoa wapo hao watu wanaweza kuisaliti ndoa kwa matatizo ya mwenziwe tu. au katika dini wapo anaslimu then anazaa na mkiristo yachukulieni poa tu BEHAVIOUR!
ReplyDelete