AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jokate |
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Jokate alisema ni ngumu kwa watu kuamini kuwa amekuwa akiumizwa na mapenzi mara kwa mara, kutokana na muonekano wa urembo alionao, lakini ukweli unabaki kuwa, anaumizwa na mapenzi na kwamba hana imani tena na wanaume.
“Kwa muonekano wangu wa juu, ni ngumu sana kuamini kuwa huwa naumizwa na mapenzi, hakika huwa naumia mno, kila ninayemuamini, anaishia kuniliza, sasa yatosha, simuamini mtu tena, sijamuona wa kumpa imani yangu kimapenzi, acha nielekeze nguvu na akili zangu kwenye kazi,” alisema Jokate.
Katikati ya wiki hii, Ali Kiba alinaswa Morogoro akiwa na mwanamke mwingine katika mazingira ambayo yaliashiria wana uhusiano wa karibu na kufanya watu waibue maswali.
GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK