AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
LOWASSA Amfuata NAPE MHAUYE Jimboni Kwake Mtama...Kilichotokea Nape Awezi Amini..Mamia Warudisha Kadi na Kujiunga na UKAWA....Waonyesha Wazi wazi Kumuunga mkono Lowassa na Team yake
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
CCM KAMA MUTAPITA MWAKA HUU SIJUI, LABDA MUMRUDISHE MZEE KINGUNGE ILI AWASAIDIE LASIVYO MUTAIPATA
ReplyDeleteGood job, Viva Lowassa. Kama naiona tarehe 25 October
ReplyDeleteHALLO,NAPE,HABARI,ZA SIKU KIBOPA WANGU.SIKUSIKII TENA KWENYE ANGA ZA CCM UKINUKUU MAPANDE MUFILISI ANAYOKUTUMA MZEE LAGHAI UBWATUKE.NASIKIA KAKA YAKO MEMBE ALIKUKABIDHI JIMBO LA MTAMA UTAMBE NALO.SASA HIVI NAPE NIMEAMBIWA UPO MAJI SHINGONI KWA MAJABALI WA UKAWA.NAAMBIWA SULEIMAN MATTHEW WA CHADEMA NDIYO CHAGUO LA WATU WA MTAMA.SASA UCHAGUZI UKIPITA UNA MPANGO GANI,NASIKIA KAKA YAKO MEMBE KESHA ANZA BIASHARA YA VIFARANGA VYA KUKU TAZARA.KARIBU TUGANGE NJAA PAMOJA.POLE NA FIMBO YA LOWASSA.SASA HIVI HUCHEKI,UNAJIKUNA TUU.HII NDIYO DUNIA.
ReplyDeleteUkawa kuingia Ikulu ni ndoto ya mchana,watanzania hatudanganyiki kirahisi hivyo
ReplyDelete