AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.
“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais ameletwa na mchungaji lakini kwangu ndiyo siyo sawa? Anayedhani uchungaji ni dili, ajaribu aone kama hajatoka majipu kama Ayubu,” alieleza Masanja, alipokuwa katika moja ya mikutano ya kampeni ya kisiasa alipoalikwa na Chama Cha Mapinduzi.
Chanzo: Mtanzania
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwenda kule kibaraka wewe
ReplyDeleteMtatumwa sana
Mbona hata mashehe huipigia debe CCM
Lowassa it's our choice
Anatafuta ulaji hakuna lolote..maisha ya siku hizi kila mtu anaweza kuwa mchungaji ali mradi anajua kukariri biblia.. hapo ulaji atapata...
ReplyDeletekariri na wewe tuone kama utakua mchungaji na utapata malipo
ReplyDelete