AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari mmiliki wa mbuzi huyo Beatrice Karimi, amedai hali hiyo imezua tafrani kubwa kijijini hapo huku wengine wakihusisha na imani za kishirikina.
Kiongozi wa Ukoo huo Musa Murungi, amesema hii si mara ya kwanza kutokea kwenye Ukoo wao, akifafanua hali hii iliwahi kutokea miaka 20 iliyopita.
Chifu wa kijiji hicho na wazee wa familia, wameandaa tambiko kama sehemu ya mila zao ili kuzuia hali hii kutojirudia.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK