AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa hito iliyosambazwa mitandaoni ni ambayo haioneshi anuani ya aliyetuma wala aliyetumiwa, tarehe, wala kumbukumbu namba, lakini pia taarifa hiyo inaonesha kusainiwa na Mkurugenzi mkuu Prof John Nkoma ambaye alishastaafu kwa mujibu wa sheria toka Juni 30 mwaka huu, na kwa sasa TCRA ina mkurugenzi mpya aitwaye Dkt Ally Simba
Taarifa hiyo Feki iliyosambazwa mitandaoni
Kufuatia usambaaji huo wa taarifa hiyo feki, mamlaka hiyo imelazimika kukanusha taarifa hiyo na kusema ni ya uongo na wametangaza kuwa watamshughulikia muhusika kwa mujibu wa sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015, na kanusho hilo limetolewa kupitia ukurasa wa twitter wa TCRA
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK