AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tayari hukumu ya Kesi hiyo imetolewa Mahakama ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam leo, Mwimbaji huyo ameachiwa huru baada ya Mahakama kumkuta hana hatia kwenye Kesi hiyo.
Source: Millard Ayo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Haya sasa flora ngwajima yupo wapi?
ReplyDeleteAnatafuta njia ya kwenda Ikulu
DeleteMUNGU NI MWEMA.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteUKWELI UMEJULIKANA!!!!
ReplyDeleteFLORA AIBU YAKO!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteMwenye haki hataachwa pamoja na kudharirika kote leo hii mungu kasimama upande wake Flora aibu kwako dada
ReplyDeletemungu ni mwema
ReplyDeleteMpaka useme kiingereza kibovu, tatizo ni kuelewa au lafdhi ya Mh Rais? Mbona hushangai mchina kuongoza matokea ya kidato cha nne kiswahili na kuwazidi wenye lugha yao? Tungepata Rais msandawe ungeandika nini hapa?
ReplyDelete