Picha: Mahujaji 717 Wapoteza Maisha Mecca Baada ya Kukanyagana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Takriban mahujaji 717 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana karibu na mji mtakatifu wa kiislam, Mecca nchini Saudi Arabia.
2CB55A5B00000578-3247269-image-m-48_1443093895904
Watu wengine 863 wamejeruhiwa kwenye tukio hilo lililotokea kwenye eneo la Mina, wakati ambapo mahujaji milioni mbili kutoka nchi mbalimbali duniani walikuwa kwenye siku ya mwisho ya Hijja.
2CB7FEC600000578-3247269-image-a-34_1443106902688
Hilo ni tukio baya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha Hijja katika kipindi cha miaka 25.
2CB615B800000578-3247269-image-m-84_1443102599905
Wakati wa Hijja, mahujaji walisafiri kwenda Mina, bonde kubwa lililopo kilomita tano kutoka Mecca, ili kwenda kurusha mawe saba kwenye nguzo za Jamarat.
2CB67BC400000578-3247269-image-a-39_1443107078688
Nguzo hizo zinaaminika kuwa sehemu ambayo shetani alimrubuni Nabii Ibrahiym.
2CB61F7300000578-3247269-image-a-93_1443103462347
Tukio hilo limetokea wiki chache tuu baada ya watu 109 kupoteza maisha baada ya kuanguliwa na cranes kwenye msikiti mkuu wa Mecca.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad