TCRA yawaonya Channel Tena: Kwa kuonyesha 'live' maelezo ya Ask. Gwajima dhidi ya tuhuma za Dr Slaa!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nimesikia sasa hivi kupitia Voice of America (Idhaa ya Kiswahili). TCRA waliwaonya Channel Ten kwa kuonyesha 'live' maelezo ya Askofu Gwajima akijibu tuhuma za kichochezi za Dr Slaa!

Hili Taifa linahitaji kufanyia 'overhaul' wala sio mabadiliko tena, maana naona kama mabadiliko hayatoshi kabisa!

Kesho yake ikumbukwe Magazeti karibu yote yameandika stori ya Gwajima tena kurasa za mbele. Sasa unaweza kujiuliza ni kwa nini kutangazwa 'live' kuwe nongwa lakini kuandikwa kusiwe 'nongwa'?

Hakika mabadiliko ni lazima nchi hii.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad