Zitto: Hakika CHADEMA Watamkumbuka Dr. Slaa Baada ya Uchaguzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jana katika mahojiano na Tiddo Muhando kwenye kipindi cha Funguka, Zitto Kabwe amewaonya wana CHADEMA wanaomtusi Dr Slaa kwa sababu ya Lowassa kuwa watamkumbuka baada ya uchaguzi. Watu makini kama Dr Slaa na Prof Lipumba wanaondoka na watu eti wanamuona Lowassa leo kawa bora?

Zitto kasema hivi sasa CHADEMA msingi wake umekuwa ni "Lowassa" na si kupambana na ufisadi tena. Baada ya uchaguzi hakutakuwa na CHADEMA ile tuliyoifahamu na ndipo hapo watanzania watakapomkumbuka Dr Slaa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. We waache tu ZITTO.

    ReplyDelete
  2. Uko sahihi Mh. Zitto Kabwe

    ReplyDelete
  3. SISHANGAI KIKWETE ANAPOKUPIGIA CHAPUO ZITTO,WEWE NI MSALITI MKUBWA WA MAGEUZI NA WANAOKUITA KIBWETELE[MGANDA KICHAA ALIYEUA MAMIA YA WAFUASI WAKE KWA MAONO YAKE AKAWAKOLOGEA SUMU AKAWAUA WOOTE] WEWE NI CCM WA KUTUPWA.WASALITI WAKUU WA MAGEUZI NCHINI MPO WANNE ZITTO,DR SLAA,LIPUMBA NA,MTIKILA MLAANIWE TENA KIKAILIFU

    ReplyDelete

Top Post Ad