AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bella ameiambia Bongo5 kuwa ni mara yake ya kwanza kutunzwa zaidi ya shilingi milioni 3 na hivyo anawashukuru watanzania kwa upendo wanaomwonyesha.
“Unajua mimi nimekuwa nikitunzwa pesa nyingi lakini haikuwahi kufika kiasi kile. Nakumbuka katika uzinduzi wa wimbo wangu ‘Nashindwa’ nilitunzwa milioni 2, lakini ile ya BSS ndio imevunja rekodi, milioni 3 na laki mbili ni nyingi sana. Nawashukuru sana watanzania. Hii inaonyesha wanakubali ninachokifanya,” alisema Bella.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK