Instagram waifungia akaunti ya Idris Sultan, aeleza kilichosababisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Instagram imeifungia akaunti ya mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan.

Idris ameimbia Bongo5 kuwa hatua hiyo imekuja baada ya kuvunja masharti ya mtandao huo.

Amesema anadhani sababu za kufungikiwa kwa akaunti yake ni kutokana na kupost kipande cha video kutoka kwenye filamu ya The Interview iliyowahi kupigwa marafuku katika baadhi ya nchi.

Nafikiria labda kutokana na ile part, ndio kitu pekee kilichosababisha kwasababu hakuna ukiukwaji mwingine wowote niliofanya,” amesema.

Idris amesema kitu pekee kinachoweza kusababisha mtu kufungiwa akaunti ya mtu bila taarifa ni pale anapoweka picha za utupu ama kama mtumiaji mwingine ametoa malalamiko kuhusu akaunti husika.

Anasema kwa sasa kila anapotaka kuingia kwenye akaunti hiyo anaambiwa ‘you account has been disabled.’

Hata hivyo amesema mchakato wa kuirejesha unaendelea na anaamini ndani ya wiki moja itakuwa imereja. Instagram wamewahi kuifungia akaunti ya Rihanna baada ya mrembo huyo kupost picha za utupu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad