AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nimejaribu kuchunguza lakini cha ajabu ata kwenye mikutano ya kampeni haendi, yeye ni dukani kwake asbh Mpaka jioni. Ata TV na habari hana mpango nayo.
Mbaya zaidi kawabadirisha mpaka wadogo zangu wamehamia ccm.
Kura 7za ukawa nyumbani kwangu zimepeperuka kama vumbi na ninaziona hizo zinaenda ccm.
Kikatio chake na vya wadogo zangu wamevificha ukweni.
Swali ni jee.
CCM imempa nini mke wangu jamani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK