Mwigizaji WASTARA Atishiwa Kuuawa na Ustaadhi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hatari! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadai kutishiwa maisha kwa kutumiwa  ujumbe wa WhatsApp na ustaadhi ambaye aliwahi kutangaza kutaka kumuoa, jambo lililosababisha staa huyo kuamua kumfungulia mashtaka.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Wastara alifunguka kuwa kutokana na vitisho anavyotumiwa na ustadhi, hivyo akitua Dar kutoka mikoani atakwenda kumfungulia mashtaka kituo cha polisi kwani vitisho hivyo vinahatarisha usalama wake.

“Hebu fikiria mtu ananiandikia ujumbe kuwa atahakikisha nimeua ndiyo ataniacha, ina maana yale yanayonitokea ni yeye ananisababishia!” alisema Wastara.

Wastara alimtumia mwandishi ujumbe wa ustadhi huyo unaosomeka; ‘na bado siyo unatamani kuua na utaua, nitahakikisha umeua ndiyo na mimi nakuacha’.

Vitisho vya jamaa huyo vinakuja baada ya gazeti dada la hili, Ijumaa linalotikisa mitaani kila Ijumaa kuandika habari ya Wastara iliyosikitisha ambayo staa huyo alielezea namna anavyopatwa na hasira na kutaka kuua mtu ndipo  ustadhi huyo akamjibu kwa ujumbe huo.

Ustadhi huyo aliwahi kuripotiwa na gazeti ndugu na hili, Risasi kuwa ana tatizo la kumsema Wastara hata awapo katikati ya swala, jambo lililomfanya awatafute waandishi ili wamsaidie kumuunganisha na mwigizaji huyo akitaka kumuoa lakini mwanadada huyo alidaiwa kumtolea nje.
GPL
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Nawe usilete karaha hapa
    Eda ilisha mwaka 47
    Tafuta bwana
    Mambo hapa Lowassa usitie kiwingu kilichojaa mavunde

    ReplyDelete
  2. Watu tuna likizo zetu ulaya Na USA kujibizana Na CCM
    Kwani hawati NGO

    ReplyDelete

Top Post Ad