AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Idris amesema moja ya show hizo ni reality show kama ilivyo ya kina Kim Kardahsian, KUWTK na Husbands Of Hollywood, na nyingine ni ya comedy.
Show hizo zitakua zikioneshwa kupitia BET na kituo cha runinga cha Vuzu.
Idris amesema sababu kubwa za kuamua kuichagua BET, ni kwasababu anataka kuingia kwenye soko la Hollywood kwa haraka.
“Zimeshakuwa recorded na kila kitu, tulivipeleka mara ya kwanza wakatupa marekebisho ya kufanya…Kuna kama channel kadhaa ambazo zinaweza zikachukua.” alisema Idris kupitia 255 ya Clouds Fm.
Ameongeza kuwa mpaka kufika mwezi December show hizo zitakuwa zimeanza kuoneshwa na vituo hivyo.
“Mpaka kwenye mwisho wa mwaka huu ndio zinaweza kuanza kuwa aired”.
Lugha itakayotumika kwenye show hizo ni Kiswahili na Kiingereza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK