Shindano la Serengeti Masta Lafana Katika Baa ya Meridian Kinondoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtumiaji wa bia ya Serengeti Salum Ally (kulia) akishiriki katika shindano la kutambua ladha ya bia ya Serengeti linalojulikana kama “Serengeti Masta” lililofanyika katika baa ya Meridian iliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam.
Balozi wa bia ya Serengeti (kulia) akikabidhi kitita cha Tsh. 50,000/= kwa Bw. Salum Ally (kushoto) aliyeibuka Serengeti Masta katika baa ya Meridian iliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam baada ya kuitambua ladha halisi ya bia ya Serengeti kwenye shindano la kumtafuta Serengeti Masta liliofanyika katika baa hiyo.
Mmoja wa wateja wa bia ya Serengeti aliyefahamika kwa jina la Mwasiti Masauni (wa kwanza kulia) akichagua karatasi ya maswali ili kujiwezesha kushinda kiasi cha Tsh. 50,000/= (Elfu Hamsini), wakati wa shindano la kumtafuta Serengeti Masta wa baa ya Meridan iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Mteja wa bia ya Serengeti Mwasiti Masauni (wa kwanza kulia) akishiriki katika shindano la kutambua ladha ya bia ya Serengeti linalojulikana kama “Serengeti Masta” lililofanyika katika baa ya Meridian iliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam. Shindano hilo ambalo linaendelea hivi sasa jijini Dar es salaam na mikoani linalenga kumpata mshindi mmoja kwa kila baa inayotembelewa anayeweza kuitambu ladha halisi ya bia ya Serengeti.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad