AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na waandishi wa habari jana baada ya jina lake kupitishwa, Ndugai alilielezea Bunge la kumi na moja kama Bunge lenye utofauti mkubwa na mabunge mengine huku akidai kuwa ongozeko la vijana wengi na wasomi wengi zaidi kunaashiria kuongezeka kwa changamoto zaidi.
“Bunge hili lina wabunge wengi vijana, lina wabunge wengi wasomi zaidi kuliko mabunge yote yaliyowahi kutokea na lina uwakilishi mkubwa. Hili ni Bunge ambalo litakuwa na changamoto nyingi, tetegemee migomo ya hapa na pale, hata hivyo ubora wa kazi utakuwa mkubwa,” alisema Ndugai.
Hata hivyo, Ndugai alisisisitiza kuwa ataliongoza Bunge kwa weledi na kutenda haki kwa kila upande hivyo aliwataka wabunge wote wakiwemo wa upinzani kumuunga mkono leo ili awe Spika wa Bunge la 11.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ni ndoto kubwa. Kazi imekuzidi uwezoo wasomi ndio wanaokuogopesha au uwezo mdogo. Jitafakari kama unaimudu hiyo kazi kweli. Au usiikubali. Bunge ni kioo cha n hi.
ReplyDeletehuyu bwana hakufaa kabisa kuwa spika
ReplyDelete